WEUSI Wapoloo cover image

Wapoloo Lyrics

Wapoloo Lyrics by WEUSI


Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo

Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii

Vijiko kama hapo hela ziko
Mi niko mpaka kokoriko
Did i do? Kwenye back me najidai tu
Kendrick sema tu tu tu

Koromeo kama ilinakorogea mtu shamba
Viwiwanja vibaridi nanunua mishamba
Nimechoka kuhesabu weusi moja namba
(Namba namba)

Na tupo mainstream si kipimo
Wapo low kimo mbilikimo
Wakipima tunavunja kilo na ua ua
Wanajua ni mazishi maua ua iokote

Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo

Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii

Kaja ghetto kapigwa monday(monday)
Kazi ghettoni mpaka monday(monday)
Hatuwezi zuia jeki ipande(ipande)
Kazi kazi kazi no kiande

Makachache wanatongoza bwana sio kitoto
Simbali simbali  mara akifika ni chocho
Utamu utamu mpaka akishtuka fofofo
Si bwana atakuja kutuokoa tusiende kwa moto

Napenda kubwa kubwa zile figure figure
Katoto umeleta mboga mi na pika pika
Ka mtoto kula sio kushika shika
Round hii safari sio kufika fika

Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo

Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii

Ukiskia wahuni wako chimba wa ma mji
Utajikuta kwa kitanda ukiomba uji
Ukiomba bwana mikono juu na harudi
Ukiomba dem mikono mitupu na haabudi

Kata kati yako ondoka
Sema unakata kati yangu unaongopa
Hasira za wahuni ni kukataa ulofa
Vijana wanatwerki ka madem wahawker

Siunipee (hee) ...sioni watu.. (haha)
Uhuni sio sifa, sifa ni werevu
Siunipee (hee) ...sioni watu.. (haha)
Uhuni sio sifa, sifa ni werevu

Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii

Mi si niliuzaga mitumba issa akiwa kikoa
Mhuni la kima cha juu fungu la kumi toa
Fanya kikoa kitaa kina cha kukutoa
Mtafia vikokotoo msipo jikokotoa(aah)

Mkinifichia white me napindua meza
Chungu lakini dawa hamna budi kumeza
Juu ni seki lojo yule wing kateleza
Ghetto hapa nilileta watu si pa kubeza

Palizaliwa watu, pakafia watu
Paliharibika watu, pakajenga watu
Unakula unafuta, unakula tena
Pesa hazitoshi mhuni akirudi tena
Ka ulichochea ndo kauli kuchocherema
Ka uliopokea usisite kutoa tena

Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo
Wapoloo wapoloo

Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii (yeah....) Wahunii (yeah....)
Wahunii

 

Watch Video

About Wapoloo

Album : Wapoloo (Single)
Release Year : 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 22 , 2019

More WEUSI Lyrics

WEUSI
WEUSI
WEUSI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl