STAMINA Mr Boniventure  cover image

Mr Boniventure Lyrics

Mr Boniventure Lyrics by STAMINA


Call me Mr Boniventure
Mr, Mr, Mr....Mr Boniventure
Siwezi kuacha hiphop no, over my dead body
Kwenye rap mwenye nyumba mpangaji leteni kodi
Am the street password naifungua na fish code
So hawa mapaka rapper hawawezi meza panya rodi
Mnawapa ukubwa wana udogo wa fikra
The gal flow ila tatizo ndo hawajui kuandika
Iko wazi na huu ndo ukweli usiojificha
Ukitoa Roma na Fid hakuna rapper wa kunitisha

Kutoka Ghetto mpaka pande za dunia
Mpaka depo ma afande wanatuskia 
Segerea teko aah
Ukitaka turudie tena mwanangu

Kutoka Ghetto mpaka pande za dunia
Mpaka depo ma afande wanatuskia 
Segerea teko wanetu wanatuaminia 
Tukizipata tujinyime ni mapande ya ngamia

Na hii sio kush kush sio tye
Washa kush kush tupae
Ulingoni kama shivo Mr sush sush so high
Wazushi zushu akataa piga sup supu 
Marapper wa kijijini narudisha bush bush wakae

Hata ningekuwa demu singekuwa najichubua
Ningechubua sana ukuta ATM pesa kuzichukua
'Wanawake tunaweza' ni msemo wa wanawake wenye akili
Ila nyie maslayqueen gaweni sehemu za siri

Ukifa masikini watasema alikufa na ikaisha
Ukifa tajiri watasema kuwa alipoteza maisha
Tafta hela, ili ukifa usiitwe marehemu
Mpaka kuitwa hayati uwe na nafasi flani sehemu

Bas bas kama Barca one touch bila papara
Dimbani kazi chafu ya Nick bangala
Bila wasi nakomesha wa masakala
Leo rapper niko na --
Nachosha marafiki wachoyo 
Wanaoshindwa kunipa hela wanakesha kunipa moyo
Ndo maana nikizipata ni mitungi juu ya meza
Maana pesa mnazotafuta sijui nani alizipoteza

Mwenye hela hana imani, mwenye imani hana hela
Pesa huja kwa hisani ila sio kwa hisani ya kabwela
Sina rafiki nimezungukwa na washikaji
Siwaonagi kwenye dhiki nawaonaga kwenye ulaji

Nimebeba bendera ya Molo town begani
Tano kwa masela saluni ipo kichwani
Najua nikifa lazima mtashika tepe
Na ndo maana sina flood naispiss vicheche

Alafu mwanaume lijali siwezi kuendeshwa na dem
Nikiendeshwa ujue ni taxi labda naenda tu sehemu
After Yesu swalo Musa alikuwaga ni marafiki
So unanipoletea ushkaji azima ndo ujue ni wa vipi

Heri yako unabeba mimba na una mpango wa kutoa
Kuna mwenzio ana kisafi na hawezi kuibeba ndoa
Mi ni mr mr mr mr Boniventure
Niite preacher preacher, preacher, preacher mr recher

Mr, Mr, Mr....Mr Boniventure
Mr, Mr, Mr....Mr Boniventure
Mr, Mr, Mr....Mr Boniventure
Mr, Mr, Mr....Mr Boniventure

Watch Video

About Mr Boniventure

Album : Mr Boniventure (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 16 , 2021

More STAMINA Lyrics

STAMINA
STAMINA
STAMINA
STAMINA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl