NIKKI MBISHI Vita ya Benghazi cover image

Vita ya Benghazi Lyrics

Vita ya Benghazi Lyrics by NIKKI MBISHI


Uh more gang, 
Tumeula gang you know am saying
GGA welcome to Gamboshi

Acha nipige deal nilipe bill
Nipipie cuggi ama Tommy Hilfiger
Ile saa simoni biggy najifeel bigger
Hamwonekani kwenye movement still picture
Nina manzi ka bet Tabaz, the real diva
Babako anachizisha pale kati midfilder

Huwa zinazibitisha nimeawazidi fikra
Love nawatest wanga kwayo ding tinter
Yeah ni unju na nuks kwenye works
Twende kazi, desperado Antonio dangerous
Dangerous, tukifa they gone remember us

Royal to the game moyo safi, tendaraz
Nature na simaanishi kiroboto
Maziko kwa watoto mmejaa mashiko robo
Bado mapigo nondo damu yangu wakidonyonzo
Nakula mingo chocho usiku mawindo koko

Eyoo maringo visonoko umekwisha, time is up now
Fight yenu ilitake off, sa ni touch down
Mziki mnene tough sound nisha puff ounce
Ambavo hamchekeshi mnafanya raia wa laugh loud
I keep going till I'm gone muth'fcker
Konga ndo zone pistol homie John madaraka
Strong na mapacha I though wamego missing
Niko na Mega K uelewe if you don't listen

Uh hii sio verse ni maongezi ya ki-millionaire
Basata acheni siasa kumbukeni pallionaires
Hawana pension cheki jinsi wanavyolia
Marijani wa ajabu ameacha familia

Gamboshi in the night vita ya Benghazi
Picha yake wazi imepikwa na bepari

Michakato ya shilingi naifanya kama Pablo
Smuggle na mapenzi hadi chato
Na bado nipo gado na macargo
Na struggle kila kona kama mafogo wa sato

Napiga dili za mamili na machizi
Tukishamaliza hatusinzi na wazinzi
Gang kubwa ka kampuni ya ulinzi
Wezi wanaomba kiss, kid can kill

Beef namaliza na upanga
Ninja nimebarikiwa kiunoni nina mkwasa
Theluji madini nang'aa maulanga
Usije kuiga hii utapasuka msamba

Mi mjanja sina issue za ukanda
Sijakaa kifala big brother mwampamba
Nimeleta heshima mall town wametamba
Yeah huwa sikondi, sikai bondi hio nakupromise
Sina tamaa ya jacks kama fisi wa king'ori
Sehemu nazojimix watu wangu hawabonji
Macho kama bundi kama askari wa kikudi

Huwa siamini sana maneno ya uzushi
Sipendi zile harusi za ukumbi
Yeah, kituche si vumbi
Ukicheza na mimi lazima waitwe tumbi

Mi nyang'au usiniangalie kwa huzuni
Utachezea ukuni hii si manzese ya uzuri
Shaka la manyangumi, samaki hamgusi
Nimeshamaliza hii sasa mafans mkabugi

Gamboshi in the night vita ya Benghazi
Picha yake wazi imepikwa na bepari
Gamboshi in the night vita ya Benghazi
Picha yake wazi imepikwa na bepari

Gamboshi in the night vita ya Benghazi
Picha yake wazi imepikwa na bepari
Gamboshi in the night vita ya Benghazi
Picha yake wazi imepikwa na bepari

Watch Video

About Vita ya Benghazi

Album : Vita ya Benghazi
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 11 , 2020

More NIKKI MBISHI Lyrics

NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl