Gari ya Moshi Lyrics
Gari ya Moshi Lyrics by NABALAYO
Tamaa tamaa tamaa
Taswira yake imenizidi
Labda safari itanifaa
Labda itanipa utulivu
Nasikia sauti, nasikia sauti (Sauti)
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Rudi rudi rudia
Rudia nipate usalama,
Nilidhani Upweke unanifaa,
Lakini upweke umenizidi,
Nasikia sauti, nasikia sauti (Sauti)
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Lia, lia, tulia
Dunia kafanana jahanamu
Kovu nazo zajifichua
Labda safari itanifaa
Nasikia sauti, nasikia sauti (Sauti)
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe nirudishe nyumbani
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe, nibebe, nibebe, nibebe
Gari ya moshi inaenda sana
Nibebe, nibebe, nibebe, nibebe
Nibebe, nibebe, nibebe, nibebe
Nibebe, nibebe, nibebe, nibebe
Nibebe, nibebe, nibebe, nibebe
Watch Video
About Gari ya Moshi
More lyrics from Changanya album
More NABALAYO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl