Shori Lyrics by MEJA KUNTA


My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

Na ila kwenye mapenzi
Mi si kifaa
Najikaza mpamba nijenge furaha

Meja kumbe sipendwi mi sio shujaa
Napo penda sipendwi mi ndo kichaa
Ila kwenye mapenzi mi si kifaa
Najikaza mpamba nijenge furaha

Ila kwenye mapenzi mi si kifaa
Najikaza mpamba nijenge furaha
Ona Meja sipendwi mi sio shujaa
Napo penda sipendwi mi ndo kichaa

Ila lakini safi moyo wake furaha
Maana upendo uzingatiapo kwenye jaa
Pengine nina nuksi kunikosera
Kwangu giza uzimapo kwako kwa taa

Ila lakini safi moyo wake furaha
Maana upendo uzingatiapo kwenye jaa
Pengine nina nuksi kunikosera
Kwangu giza uzimapo kwako kwa taa

Ila mapenzi fumua redio chaneni za chama
Hauna -- kesho mapenzi yashazama
Ama mimi niwe chanuo hata nywele nitachana
Kilaze megio mwisho wa mapenzi uhasama

Basi mama kilio
Bei ndo iyo
Na meja ukinuna
Watachukua wenzio

Basi mama kilio
Bei ndo iyo
Na meja ukinuna
Watachukua wenzio

My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

Nacha bado ile stori naikumbuka 
Nyinyi ndo chanzo cha kutukatisha furaha
Mapenzi ubishani ushindani mngesema tu mwanzo
Sio kutwa kutunyanyapaa

Nacha bado ile stori naikumbuka 
Nyinyi ndo chanzo cha kutukatisha furaha
Mapenzi ubishani ushindani mngesema tu mwanzo
Sio kutwa kutunyanyapaa

Nawe ndo umefanya nichukie shida zangu
Tena ukaziba nisilione jina langu
Mbali huko ndo panapotoka chozi langu
Na kama ungenipenda usingeniacha peke yangu

Ni wewe, mwenzako roho roho inauma
Eti na mesemeni inauma
Mwenzako roho roho inauma
Ninajuta cha kupenda 

My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

My baby ooh mama ooh mama ooh
Nami naona
Hii kipenzi hoja maoja mao
Nami naona

Na chula nakatika, chula nazungusha
Ona nakatakata, mi ananidatisha
Chula nakatika, chula nazungusha
Ona nakatakata, mi ananidatisha

Basi nifunulie pa, paja mama
Paja tena, njoo ucheze nami
Inafaa kaa chini una ka, kata dada
Kata tena nikatikie mi

Basi nifunulie pa, paja mama
Paja tena, njoo ucheze nami

Watch Video

About Shori

Album : Shori (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Makers Gang
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 18 , 2019

More MEJA KUNTA Lyrics

MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl