Inauma Lyrics by MEJA KUNTA


Nikikumbuka kiatu nabaki nalia du
Najua mengi wataongea 
Mola wangu nipe uvumilivu
Kuna mengi nyuma pazia

Nasema oo Mamu mke wangu
Vipi atoke na ndugu yangu
Ooh mke wangu 
Leo namwita shemeji yangu

Kweli kuo huyaoni Meja najionea
Mwenda pole hajikwai
Mengi yaliyotokea siwezi simulia
Maana niko hoi mmh ah

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Mwenzenu inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma na roho, inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Si hoi kaka niteseke
Nirudi Temeke
Kwenye nyumba nitoke
Niadhirike

Pale menaja anapokuwa boss inauma
Kisa kijali mpaka matusi inauma
Pesa kidogo nifungue kesi inauma
Nampaka Venture siaminiki inauma, inauma

Chawa wa boss anadai uridhi
Pia aolewe tu, chawa mambo leo 
Kweli mjini kuna mambo 
Mchawi shobo zako tu upewe funguo

Kweli kuo huyaoni Meja najionea
Mwenda pole hajikwai
Mengi yaliyotokea siwezi simulia
Maana niko hoi mmh ah

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Mwenzenu inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Huruma yangu na roho
Huruma yangu na roho
Huruma na roho, inanitoa roho
Jamani inanitoa roho

Venture TZ

Watch Video

About Inauma

Album : Inauma (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 04 , 2021

More MEJA KUNTA Lyrics

MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA
MEJA KUNTA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl