Ahsante Lyrics by ATOSHA KISSAVA


Kuna wakati nilikutana na giza
Kwenye maisha yangu
Nikadhani ni mwisho wa maisha yangu
Lakini Baba ulinisaidia
Kuna wakati sikujua hatakama kesho kungekucha
Lakini mpaka Leo nipo hai kwa neema
Sijui niseme nini mbele zako aaah

Na na na na na na na na
Na na na na, na na na  a
Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza Leo Baba acha nishukuru
Ni mengi sana, siwezi sema
Nikamaliza yote uliyo nitendea
Na na na na na na na na
Na na na na, na na na  a
Nakushukuru uuuh
Ahsante Baba Ahsante Baba
Ahsante Baba, umenisaidia
Ahsante Baba Ahsante Baba
Ahsante Baba, oh oh oh oh

(Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi
Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi)
Oh Ahsante( Ahsante
Ahsante Ahsante Jehovah)
Sio nguvu wala akilizangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umesimama upande wangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umepigana na adui zangu
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Ume nifuta machozi
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Umenishika mkono
(Ahsante Ahsante Ahsante Jehovah)
Moyo wangu waku shukuru
(Moyo wangu!
Hawezi, kunyamaza yale umenitendea
Yananitoa machozi )

Oh Lord I thank you
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
You are my protector
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
You are my everything (I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)
I am safe in Lord
(I thank you, I thank you, I thank you Jehovah)

Watch Video

About Ahsante

Album : Ahsante (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Sep 04 , 2020

More ATOSHA KISSAVA Lyrics

ATOSHA KISSAVA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl