Kubali Lyrics by LODY MUSIC


Yeah! Unalewa nini?
Wakati mwenzako ameshakuacha 
Yaani hakutaki tena

Unampigia nini?
Akiona namba yako tu anakata
Huyo sio wako tena

Hata usiwaze kulipiza kisasi 
Kwa vijembe vingi huko status
Kwenye moyo wake huna nafasi easy

Tena usiwaze kujipiga risasi
Usijinyonge usijigasi 
Kwenye moyo wake huna nafasi easy

Usilazimishe
Utazeeka vibaya 
Asikulazimishe no no no
Unaenda mishe mishe
Ndani analeta malaya
Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa 
Kubali kubali
Utampata wako mtapendana, kwa dhati
Amekuacha we, umeachwa eeh!
Kubali kubali
Aah! Mapenzi yanauma eh

Unayempenda kampenda mwengine
Huyo mwengine naye ana mwengine
Mwengine naye kapendwa na mwengine
Moyo sukuma damu sio mashine

Yanakuumiza na pengine 
Hauna budi kumpenda mwengine 
Mapenzi joto joto usipime
Moyo sukuma damu sio mashine

Penzi kiza kinene kiroho mbaya
Yanatesa tena vibaya
Ukitenda una retire ah!

Labda hufiki kina mapenzini
Ndo maana unaachwa matatani
Hufiki kina mapenzini (Mapenzi mapenzi)

Usilazimishe
Utazeeka vibaya 
Asikulazimishe no no no
Unaenda mishe mishe
Ndani analeta malaya
Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa 
Kubali kubali
Utampata wako mtapendana, kwa dhati
Amekuacha we, umeachwa eeh!
Kubali kubali
Aah! Mapenzi yanauma eh

(Lody Music on this one)

Watch Video

About Kubali

Album : Kubali (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 08 , 2021

More LODY MUSIC Lyrics

LODY MUSIC
LODY MUSIC
LODY MUSIC
LODY MUSIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl