JUX Mapepe cover image

Mapepe Lyrics

Mapepe Lyrics by JUX


Labda uliza moyo wangu
Ndo umenifanya mi nifike mapema
Mama uliza moyo wangu
Unavyonitesa imenibidi kusema (Eeh) 

Zamaaaani 
Toka zamani mama
Nilikuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani
(Aaaah aaaah aaaaah) Usikatishe penzi ghafla
Ndo kwanza penzi letu linanoga tu
Kama shida wote tumepata

Sasa unachokitaka unakipata boo
(Boooo Boooo) Usilikatishe penzi letu
Maana kwanza linanoga tu
Unachokitaka unakipata sasaa ?

Aaaaaaah mapepe ya nini ? Pepe
mapepe ya nini ? Pepe
mapepe ya nini ?
Nishatulizana nawe punguza mapepe

Aaaaaaah mapepe ya nini ? Aah pepe
mapepe ya nini ? Pepe
mapepe ya nini ?
Nishatulizana nawe punguza mapepe

Mama serebu__
African mama serebu__
Mziki unamata shebeduka
Napenda ile vidole uking’ata macho juu
Yako thamani, Ni zaidi ya dhahabu
Nafanya hisani, Usije pata tabu

Zamaaaani
Toka zamani mama
Nilikuwa na ndoto siku moja ukae nyumbani
(Aaaah aaaah aaaaah) Usikatishe penzi ghafla
Ndo kwanza penzi letu linanoga tu
Kama shida wote tumepata

Sasa unachokitaka unakipata boo
(Boooo Boooo) Usilikatishe penzi letu
Maana kwanza linanoga tu
Unachokitaka unakipata sasaa?

Aaaaaaah mapepe ya nini? Pepe
mapepe ya nini? Pepe
mapepe ya nini?
Nishatulizana nawe punguza mapepe

Aaaaaaah mapepe ya nini ? Aah pepe
mapepe ya nini ? Pepe
mapepe ya nini ?
Nishatulizana nawe punguza mapepe

Acha iendee
Acha iendee
Punguza mapepe

Watch Video

About Mapepe

Album : Mapepe (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB WASAFI
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 12 , 2021

More JUX Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl