
Tena Lyrics
...
Tena Lyrics by MBOSSO
S2kizzy baby
Jasho lilinitoka mwenzenu
Hata kwenye ac
Yule nilosema ni shemeji yenu
Alinipandisha bp
Ngumi mkononi kuvaana maungoni
Yemi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oooh nono
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Mambo ya kulilia mapenzi
Ni miaka ya tisini kushuka chini
Watoto wa elfu mbili hawawezi haya mambo
Hilo uweke akilini
Ngumi mkononi kuvaana maungoni
Mimi sijazoea
Yanamtoka mdomoni nakosa silioni
Mwenzangu ananifokea oooh nono
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Kwake mi kurudi tena
Hilo haliwezekani
Mimi kumpenda tena
Si bora tu nifuge nyani
Watch Video
About Tena
More MBOSSO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl