...

Tena Lyrics by MBOSSO


S2kizzy baby

Jasho lilinitoka mwenzenu

Hata kwenye ac

Yule nilosema ni shemeji yenu

Alinipandisha bp

Ngumi mkononi kuvaana maungoni

Yemi sijazoea

Yanamtoka mdomoni nakosa silioni

Mwenzangu ananifokea oooh nono

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Mambo ya kulilia mapenzi

Ni miaka ya tisini kushuka chini

Watoto wa elfu mbili hawawezi haya mambo

Hilo uweke akilini

Ngumi mkononi kuvaana maungoni

Mimi sijazoea

Yanamtoka mdomoni nakosa silioni

Mwenzangu ananifokea oooh nono

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Kwake mi kurudi tena

Hilo haliwezekani

Mimi kumpenda tena

Si bora tu nifuge nyani

Watch Video

About Tena

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jun 17 , 2025

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl