MBOSSO Tamba Magufuli cover image

Tamba Magufuli Lyrics

Tamba Magufuli Lyrics by MBOSSO


Mambo yamepanda moto
CCM chama number 1
Kwetu si maneno hapa kazi
Wapinzani tumbo joto
Kila sehemu wako taabani
Ushindi kwa Magu wazi wazi

Ye nuru sawia uamuzi ndio sifa yake
Uhuru kapinga ubaguzi kwa wanawake
Ye na walanguzi hawana chake
Vigele gele miluzi na shangwe kwake

Fungeni maturubai, mkeshe mkisema
Wala hamtupi shida, mkeshe mkisema
CCM twajidai, mkeshe mkisema
Kwetu ushindi kawaida ooh

Tena Magufuli amekuja na tiba sindano
Acha wateseke
Anachapa kazi babu ye hana mfano
Acha wateseke

Tena ngangari hodari wa mapambano
Acha wateseke
Na tupo na wewe baba mpaka mbili ishirini na tano
Acha wateseke

Tamba tamba, tumekupa uwanja tamba
Tamba tamba, warushe warushike roho zao
Tamba tamba, wenye majipu watumbue leo
Tamba tamba, tamba baba lao

Twaomba akulinde Mungu dua zetu sie
Fly over kama kwa wazungu 
Tuna ndege zetu sio
Na hujatugawa mafungu yule na mie
Taifa moja sote kama ndugu
Ah chakula tukupatie 

Umepambana na Tsunami
La korona ilipoingia, ni amani kote sasa
Rushwa na unyang'anyi 
Tinga tinga umefagia mafisadi wote msasa

Hili ndo chama langu nimezama mazima, CCM!
Dando jiji langu makonda nalidima, CCM!
Makamu wa rais wangu mama Samia halima, CCM!
Majaliwa waziri wangu kata kata mashina , CCM!

Fungeni maturubai, mkeshe mkisema
Wala hamtupi shida, mkeshe mkisema
CCM twajidai, mkeshe mkisema
Kwetu ushindi kawaida ooh

Tena Magufuli amekuja na tiba sindano
Acha wateseke
Anachapa kazi babu ye hana mfano
Acha wateseke

Tena ngangari hodari wa mapambano
Acha wateseke
Na tupo na wewe baba mpaka mbili ishirini na tano
Acha wateseke

Tamba tamba, tumekupa uwanja tamba
Tamba tamba, warushe warushike roho zao
Tamba tamba, wenye majipu watumbue leo
Tamba tamba, tamba baba lao

Tushalinoa panga porini kukata muwa
Yaani tumejipanga wapinzani mtajijua
Tushalinoa panga porini kukata muwa
Yaani tumejipanga wapinzani mtajijua

Tushalinoa panga porini kukata muwa
Yaani tumejipanga wapinzani mtajijua
Tushalinoa panga porini kukata muwa
Yaani tumejipanga wapinzani mtajijua

Lalalala.... (Ayolizer)

Watch Video

About Tamba Magufuli

Album : Tamba Magufuli (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 14 , 2020

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl