Pole Lyrics by MBOSSO


Ooh sweety sweety sweety nisikilize
Sweety sweety niseme nimalize
Mungu ametukanisha sweet yeeye
Ana maana yake
Mungu katuunganisha sweet wewe
Kwa neema zake eh
I told my mama I want to marry
Nitakuja kwenu nitoe mahali
Mi na we tuanze safari
Ya mbali kina aah
Mbaazi na choroko utofauti utaujua
Jungu kuu wake ukoko yanini kuukwangua
Mie ndama kwako motto
Usije kunikafua
Penzi tulipashe moto
Wakigusa waungua
Mithiri ya watoto mapacha tunavyopendana
Mambo ya uzungu na usasa tunayopeana
Penzi twalivujisha pakacha tunavujiana
Wale wenye uchu wa paka hili penzi lawakwama

Baby nasikia twawaumiza
Pole tunawapa pole
Penzi lawakereketa
Pole tunawapa pole
Ooh hasidi watu wabaya
Pole tunawapa pole
Wameza panadol pengine watapoa
Pole tunawapa pole

Eeh
Eeh eeh eeh eeh
Ooh baba ba baba

Sweety sweety sweety nisikilize
Sweety ai sweety name nikujuze
Eeh shubiri shubiri
Chungu honey
Nashindwa kuficha siri
Yetu ya chumbani
Akili yangu na mwili taabani
Eeh
Penzi upepo la pepea (pepea)
Honey twende mbali (pepea)
Kuni nitazichochea (chochea)
Baby uje kupara wali eh
Mithiri ya watoto mapacha tunavyopendana
Mambo ya uzungu na usasa tunayopeana
Penzi twalivujisha pakacha tunavujiana
Wale wenye uchu wa paka hili penzi lawakwama

Baby nasikia twawaumiza
Pole tunawapa pole
Penzi lawakereketa
Pole tunawapa pole
Ooh hasidi watu wabaya
Pole tunawapa pole
Wameza panadol pengine watapoa
Pole tunawapa pole

Watch Video

About Pole

Album : Khan (EP)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Oct 28 , 2022

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl