MARTHA MWAIPAJA Nimesikia Sauti cover image

Nimesikia Sauti Lyrics

Nimesikia Sauti Lyrics by MARTHA MWAIPAJA


Nimesikia sauti nyiingi 
Iliyoniponya ni ya YESU uuh!
Nimeambiwa habari nyiingi mi
Iliyo nivusha ni ya YESU

Nimesikia sauti nyingi sana mimi
Iliyo ni ganga moyo ni ya YESU
Nimeambiwa vitu vingi sana
Nilipo ambiwa na YESU nikapoona

Aah YESU ni tumaini 
Mahali pamepoteza time
Nilipaza sauti ili watu wanielewe
Akanielewa Masia

Nikajaribu jitetea watu wajue 
Akaniambia nimekutetea mwanangu
Akaniuliza una msikiliza nani
Nisikilize mwanangu utapona

Akasema ondoa aah kusikiliza wengine
Ukinisikiliza mimi utaishi
Nimesikia sauti za watu wengi
Lakini ya YESU ikaniponya eeeh!
Nimesikia (Sikia) sauti nyiingi

Ikiniambia, iliyoniponya (Endelea) 
Ni ya YESU (Nimekujua aah!)
Nimesikia (Eeh) sauti nyiingi 
Sauti ya YESU, Iliyoniponya (Ni ya upole)
Ni ya YESU uuh!

Aaaah ahsante YESU wangu
Umeponya wema wangu Baba aah
Uuuuh uuh hallelujah
YESU wewe ni wa wote eeh
Naomba Baba sikika kwa wengine
Wengi wamekosa,  pakuelekea

Wakikusikia wewe watapona aaah
Wameambiwa hawataweza kabisa
Wakikusikia Masia wataweza
Ameambiwa hawana tumaini
Ukisikika kwao wataishi
Uliposikika Israel walitoka Misri

 

Watch Video

About Nimesikia Sauti

Album : Nimesikia Sauti (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 31 , 2021

More MARTHA MWAIPAJA Lyrics

MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl