MARTHA MWAIPAJA Cha Kutumaini Sina  cover image

Cha Kutumaini Sina Lyrics

Cha Kutumaini Sina Lyrics by MARTHA MWAIPAJA


Cha kutumaini sina ila
Roho yako bwana
Sina wema wa kutosha
Dhambi zangu kuziosha

Cha kutumaini sina ila
Roho yako bwana
Sina wema wa kutosha
Dhambi zangu kuziosha

Kwa baba nanyenyeke, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Sitarudishwa nyuma na chochote, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Anapigana kwa ajili yangu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mtetezi anaishi milele milele, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga, nguvu zake ndiyo nanga
Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga, nguvu zake ndiyo nanga

Kwa baba yangu nasimama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mwenzenu nikilia ninanyamazishwa, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Anateta na adui zangu wote, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Anaandaa meza mbele ya watesi wangu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake, sina hofu mbele zake
Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake, sina hofu mbele zake

Kwa baba nanyenyekea aah, mwamba ni sala
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mwenzenu sina mashaka nimesimamishwa, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Sijajaza mashaka ndani yangu nina nguvu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Ananichunga popote niendapo niwe salama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Amenificha kwenye mwamba adui hataniona, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Asante mwamba imara

Mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama

Sitaogopa chochote niko kwenye mwamba, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Kitu gani mwenzenu kinitoe kwake, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Ananikinga na kila hila za adui, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Ameyanyoosha mapito yangu napita salama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Amenilaza kwenye kifua chake cha upendo
Ni mwamba salama kwangu salama
Nimuache niende kwa nani, kwa nani mwenzenu ooh
Yeye ni mwamba ni mwamba, ni mwamba....

Watch Video

About Cha Kutumaini Sina

Album : Cha Kutumaini Sina (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 31 , 2021

More MARTHA MWAIPAJA Lyrics

MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl