Alamba Lyrics by GIGY MONEY


Nitatangaza ndoa
nakuoa wakawa ...

yuko pretty, kuanzia mpaka chini Juu
Juu twaja piga jeki
Mashallah
she is so sexy,
kitandani Chenga Nyingi
na shooti is Messi, aje raha

mmmmh
mwenzenu napendeza naye
nachotaka napewa naye
sasa vipi nimkatae, siwezi

eeeh
na watoto nizae naye
kanijaza wacha nijae
kidogo nagawana naye

huko nyuma lugha Bima
katuna, kashona
nikamwaga mavumbaa (aah eeh)
moja moja kama rimba,
nusu na kukuna
yaani movie Govindaaa

Kama kidole kwa hatari
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Akinipa mmoja chali
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Tamko zaidi futari
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Keni mwanzo mi silali
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba

Utam kolea, kolea, kolea, kolea
Utam kolea, kolea, kolea, kolea

Ka mapenzi kudekezwa mi na mzidi na Mbosso
Penzi lako kama maji nikilikosa ni kifo
Yaani we unanipenda najionaga mtoto
Penzi unalonipa kama Gigy wa Money mwisho

K-kila nikimwonaga,
Kamoyo kanadunda dunda
Mashoga zangu wakiongeaga
Natamani kuwakunja kunja

Wanasema vipi? mi naona madondora
Gigi kiki? mi naona zinaboa
Maisha ni muziki, hauzuiagi nda
Wala sichomoki, kaja sema ananioa

Beiby nitazame, nichecheme
Kama China mi, nijipe me
Nechecheme nechecheme ...
Nitembelee wapi ..

Kama kidola kwa hatari
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Akinipa moja chali
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Tamko zaidi futari
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba
Keni mwanzo mi silali
Alamba lamba ah lamba, alamba alamba

Utam kolea, kolea, kolea, kolea
utam kolea, kolea, kolea, kolea

 

 

Watch Video

About Alamba

Album : Alamba (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 04 , 2019

More GIGY MONEY Lyrics

GIGY MONEY
OK
GIGY MONEY
GIGY MONEY
GIGY MONEY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl