Genge Lyrics by GOLDEN BUZZ


Ka nimekosea nisamehe
Sijadhamiria mama ninachotaka tujenge 
Mi na wewe 
Ila mama mambo mengine utazame 
Ka twaishi vyema mama ni hiki kigenge 
Unanijua na wewe

Asa usipo ongea na watu vipi ni uzee
Nisipo cheka na watu iweje nikutunze mama
Mwenyewe wajuwa siwambili 
Wala tatu vipi nijikuze
Kina chamaji matitu 
Haina budi nijishushe mama

Mwenyewe na elewa wivu 
Hukaa ndani ya moyo wenye upendo 
Ila jua wako ustamilivu 
Ndiyo nguzo ya wetu mwendo

Naanzaje me kukuchiti
Mwenyewe unajua navyokupenda 
Nakupambania ili we uweze kuishi vyema 
Kweli jinsia tofauti hazinaga urafiki 
Kwa ajili yako yote natenda 
kwengine sinto angalia 
Amini wendo chanda chema

Basi usijali
Mama usijali
Hivyo usijali
Babe usijali

Amini kwangu we ua na mimi boga
Asa kwengine nifate kwanini 
Kisa vipicha picha usije ukalitupa 
Likaja liwa na chatu

Ni kweli hofu na uwoga
Ila mapenzi hujengwa na imani
Usijehisi nakuficha mpenzi ukanitupa 
Nikaja chekwa na watu

Aaaah ndo niuze ndizi na nyanya 
Nasi tupate tule
Vipi nisipo ongea nao 
Njaa ukija ilala mama

Vikaroti vibiringanya 
Wajana dada yule 
Ndo kila wiki 
Huchukuwaga jumla jumla mama 

Naanzaje me kukuchiti
Mwenyewe unajua navyokupenda 
Nakupambania ili we uweze kuishi vyema 
Kweli jinsia tofauti hazinaga urafiki 
Kwa ajili yako yote natenda 
kwengine sinto angalia 
Amini wendo chanda chema

Basi usijali
Mama usijali
Hivyo usijali
Babe usijali

Watch Video

About Genge

Album : Genge (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Golden Buzz
Published : Nov 09 , 2021

More GOLDEN BUZZ Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl