Pombe Lyrics by MACVOICE


Nataka pombe, nataka kulewa
Nataka pombe pombe, nataka kulewa
Eeh aiyoyoyo (It's S2kizzy beiby)
Eeh aiyeyeye
Aah aiyoyoyo
Eeh aiyeyeye

Kama, kama sitaki
Kama, kama sitaki
Nacheza kama, kama sitaki
Yaani kama ah ah kama sitaki

Wanoko washamba, nawacheka kwa dharau (Kama sitaki)
Nishafuta namba wachawi wote nawasahau (Kama sitaki)
Sinanga mawenge, siwajibu wakitoka (Kama sitaki)
Sibishani na kenge, leta matusi nikublock (Kama sitaki)

Nina-kunywa bia (Kama sitaki)
Nina-kwama bia (Kama sitaki)
Eh eh eh eh aiyoyoyo
Hio hio hio, aiyeyeye
Shuka shuka shuka, aiyoyoyo
Eh eh eh eh aiyeyeye

Nataka pombe, nataka kulewa
Nataka pombe pombe, nataka kulewa
Nataka pombe, nataka kulewa
Nataka pombe pombe, nataka kulewa

Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
Leta tulewe, zungusha tena, aiyeyeye
Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
Meza ipendeze, zungusha tena, aiyeyeye

Nakapa pombe kakilewa ndo nakashika, kama sitaki
Napanda milima ghetto kileleni nafika, kama sitaki
Ninakunywa bia, kama sitaki
Ninakapa bia, kama sitaki

-----
Leon Lee
-----

Nataka pombe, nataka kulewa
Nataka pombe pombe, nataka kulewa
Nataka pombe, nataka kulewa
Nataka pombe pombe, nataka kulewa

Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
Leta tulewe, zungusha tena, aiyeyeye
Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
Meza ipendeze, zungusha tena, aiyeyeye

(It's S2kizzy beiby)

Watch Video

About Pombe

Album : My Voice (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Next Level Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 25 , 2021

More lyrics from My Voice album

More MACVOICE Lyrics

MACVOICE
MACVOICE
MACVOICE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl