Lololo Lyrics by LADY JAYDEE


Wacha we lololo, wacha we wacha hizo
Wacha we lololo, wacha we wacha hizo

Usije ukome mi sio kipofu
Machale kunitesa michael dudi kofi
Niwafuete nidondoke nusu mahututi
Nife mlie machozi bandia mnivishe suti

Jeneza shimoni mpige tepe mmwage kifusi
Hihihi komando hafi kizushi
Nilishtuka nikajuti nikagundua mna chuki
Jinsi mambo imezidi mi sifuati mamluki

Nakaza hata ikibidi kufunga mgwiji chupi
Nina heshima kubwa street wasije kuniona stupid
I got so flat ng'a bora nilale njaa 
Hamlipi nyinyi mnaniita tuje tukeshe bar

Kila saa niwalambe miguu niombe msamaha
Ni sawa mtu mzima arudie utotoni kutambaa
Siji uko? Nasubiri mtashangaa
Hili ni dege la jeshi fuga naga bado mnapaa

Nawaambia siji uko, siji uko
Hata kama nitapotea 
Nawaambia siji uko, siji uko
Hata kama nitapotea 

Wacha we lololo, wacha we wacha hizo
Wacha we lololo, wacha we wacha hizo

Komando Jide roho ya chuma 
Hii ni Mungu amepanga
Kutikisa huu mwamba 
Inabidi kujipanga
Wanataka nife kifo cha mapanga

Nawaambia siji uko, siji uko
Hata kama nitapotea 
Nawaambia siji uko, siji uko
Hata kama nitapotea 

Mimi sirudii, wala sipitii
Njia hio yenye miiba 
Kamwe sijutii na sifikirii
Kukalia tu ujinga
Nasema leo na iwe mwisho
Singoji kesho nifikwe nifikwe umautii

Nishasema siji huko hata ningefuata nini huko
Mbona hapa nilipo safi, panatosha sina majuto
Nilipotoka ni mbali mno, nilipotoka ni mbali mno

Wacha we lololo, wacha we wacha hizo
Wacha we lololo, wacha we wacha hizo
Wacha we lololo, wacha we wacha hizo
Wacha we lololo, wacha we wacha hizo

Watch Video

About Lololo

Album : 20 (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 25 , 2021

More lyrics from 20 album

More LADY JAYDEE Lyrics

LADY JAYDEE
LADY JAYDEE
LADY JAYDEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl