Chorus Lyrics by LADY JAYDEE


Bongo ee, Bongo Dar es Salaam
Kaa chonjo wee, ndani ya Dar es Salaam
Utalia lia lia, ndani ya Dar es Salaam

Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee

Sema unachoweza (Mambo ya fedha)
Fanya unachoweza (Mambo ya fedha)
Mbona unashangaa mambo ya fedha hee

Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi
Tilalila lila hii ninayo kupa ni hali halisi
Tilalila lila sisi na wanyalu tunavyoishi

Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Ila inatoweka, mabaya yanaongezeka 
Macho ni kama watu, mioyoni hawana utu
Mabaya yanaongezeka 

Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao
Ama zangu ama zao wakibana wataachia
Wakiziba wakitega we tegua sema nao

Kumbe ni waongo wao wenyewe ndo wanaowatokea
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza 
Kama ni dem sikiliza, kama unaswali uliza
Hata kama sijamaliza, ah ah sikiliza 

We wako utukufu wako
Amen Amen Baba Amen

Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka
Msiache kuongea ongeeni mnavyoweza
Kila mnapoongea sifa zinaongezeka

To be with you I feel like 
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain

To be with you I feel like 
Am on top of the world
And I wanna stay
Just like Kilimanjaro mountain

Watch Video

About Chorus

Album : 20 (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 25 , 2021

More lyrics from 20 album

More LADY JAYDEE Lyrics

LADY JAYDEE
LADY JAYDEE
LADY JAYDEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl