Nana Lyrics by DAYOO


Nananana nanaa
Onana nana
Nanana onanaa
Onana

Nishazuguka kote duniani
Kama wee sijamuona
Gari umeliwasha washa
Washa washa washa angani
Pole pole wee mkia mwendo wako
Ukitembea hutokwi jasho
Unang’ata kucha unafumba macho
Zitaniua pigo zako
Sir God amekupamba we alloo
Amekupa nyumba yaani mpaka choo
Makolo wakikijaza wee wa ignore
Akili kichawani iih eeh
Ooh mama mama
Mwaka huu watakomama eeh
Watasubiri sana sana
Kuja kuachana
Unanifanya naimba (onana nanaah)
Kichwani umenikaa (onana nanaah)
Nauwambie eeh moyoni umenijaa (onana nanaah)
Oh nana, oh nana
Mmh aah moyoni umenijaza
Oh na na moyoni umenikaa
Oh lala eeh

Nataka ni invest kwenye body uwe unapendeza
Aah zaidi ya kina nai
Usinyoe baby uwe unasuka ukikopeshwa
Mi nitalipa wakidai
Hao mabisho kawakataa kwa mangi kaweka koma
Pisi kapenda viwalo vya ilala boma
Baby unanifanya nikijikia kufa kufa kufa
Unanirudisha uhah
Ooh mama mama
Mwaka huu watakomama eh
Watasubiri sana sana
Kuja kuachana
Unanifanya naimba (onana nanaah)
Kichwani umenikaa (onana nanaah)
Nauwambie eeh moyoni umenijaa (onana nanaah)
Oh nana, oh nana
Mmh aah moyoni umenijaza

Watch Video

About Nana

Album : Nana (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 28 , 2023

More DAYOO Lyrics

DAYOO
DAYOO
DAYOO
DAYOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl