...

Mimi Lyrics by DAYOO


Nawaza mbali traxx

Na si eti again

Mmh

mmmmh mmmh mmh

Ooooh oooh oooh

Aaaah aaaah

Eti wanaulizana mbona siku izi nanenepa

Wameanza kuulizana baby mbona siku izi natakata

Nimewaambia nishampata wa kunidekeza kujiali

sasa hivi bila kubembelezwa usiku silali

Yangu thamani ameiongeza wa ghali

Sio yule wa kunisema wakunibeza dotto magari

Sijui ni mimi tu au kuna wengine

Wanaopewa izi raha kama navyo pewa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Oooh no

Mmmh mmmh mmmh

Mmmh mmh

Kama mahaba ndo hivii

Nipelekwe milembe nishakua chizi

Sio mtu wa waganga vihirizi hirizi

Amezizidisha dua mpaka nimekua chizi

Mmh

Alafu si eti my dear

Unanipenda nakupenda pia

Unikiacha mwenzako nitalia kama mtoto

Ooooh ooooh

Wanatupakazia unipendi unanichezea

Umekuja kunitumia uende zako

Nakiri kwako baby ukienda mbali na mimi nakosa raha

Sio vitamin hivi mmmh nanenepa tu kwa makopa

Mi ndo mwenzenu nawaza aaaah

Ijui ni mimi tu au kuna wengine

Wanaopewa izi raha kama navyo pewa mimi

Sijui ni mimi tuu

Au kuna wemgine

Wanaodekezwa ka navyo dekezwa mimi

Watch Video

About Mimi

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 02 , 2025

More DAYOO Lyrics

DAYOO
DAYOO
DAYOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl