...

Nazama Lyrics by JAY MELODY


Mmmh once again

Mmmh naitwa once again

Onaah nananaaah

Mapenzi ya usiku

Sio kama ya mchana

Usiku kigiza flani

Mchana tunaonana

Halafu kipaji anhaa

Amempa maulana

Ananionesha michezo ambayo sijawahi ona

Kwisha kabisa

Mwenzenu ananimaliza

Huu ufundi kapatia wapi

Mbona anapitiliza

Kwisha kabisa

jamani Anamiujiza

Penzi kalichomea ubani

Utamu tu ananipa

Mwenzenu nazama

Mi sijui nifanyeje

Sjui mimi

Sijui nimekuaje

Sijui mimi

Nimekua kama bwegee

Mwenzenu

Naenjoy mwenyewe olaah

Hivi kwanini ukiitwa honey

Unasikia raha mpaka ndani oh

Hadi unatamani uiskie milele maishani

Namaanisha sio utani

Huu upendo umenipa amani

Wengine wanafika mbali

Eti mapenzi majani

Kwisha kabisa

Mwenzenu ananimaliza

Huu ufundi kapatia wapi

Mbona anapitiliza

Kwisha kabisa

jamani Anamiujiza

Penzi kalichomea ubani

Utamu tu ananipa

Watch Video

About Nazama

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Apr 08 , 2025

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl