Chini Lyrics by JAY MELODY


Mmhh
Oh la la
Aah mmhh

Ona nakupenda sana
Usije nipanga kama nyanya
Ukaniona tu mi sina mana
Ukanichezesha mchana mchana
Ila we nipeleke utakavyo my
Na siwezi kubisha kwa lolote
Kwa wengine acha nijidai
Kwako jinga mie kolo
Unanichanganya ukipita na kimini
Puani umenitobolea kipini
Ccatwalk huo mwendo kama jini
Vimaswali baby unataka nini
Hivi hivi kwanini
Ukianzaga unipaga nyama ulimi
Tena ulivyo mtundu kama nini
Unavyokatika mpaka chini
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Unavyokatika iyo mizungu siamini
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Unavyokatika ndo mpaka chini

Haya malavudavii yamenikamata
Leo naongea
Na nilivyo sijwez naelekea kudata
But i don’t care
Sina wakkunipa mapenzi
Zaidi yako mi sina
Na ukijaga kuniacha
Mwenzako ntachina
Mmh nakupenda kinyama
Kweli mi sina
Aah nasinzia nikikuwaza oh baby
Unanichanganya ukipita na kimini
Puani umenitobolea kipini
Watwalk huo mwendo kama jini
Vimaswali baby unataka nini
Hivi hivi kwanini
Ukianzaga unipaga nyama ulimi
Tena ulivyo mtundu kama nini
Unavyokatika mpaka chini
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Unavyokatika iyo mizungu siamini
Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
Unavyokatika ndo mpaka chini

Akitaka kucheza muacheni
Kama juringa muacheni
My baby baby muacheni
Ah ouh uu uu
Ama kucheza muacheni
Kama kuringa muacheni
My baby baby muacheni
Ouh uu uu

Watch Video

About Chini

Album : Chini (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Oct 21 , 2020

More JAY MELODY Lyrics

JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY
JAY MELODY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl