IBRAAH Nimepona  cover image

Nimepona Lyrics

Nimepona Lyrics by IBRAAH


Macho yangu yana tamani kukuona
Ila moyo ume goma
Umecheza na hisia zangu
Kumbe si fungu nilichagua koloma
Minasha nga macho yana tamani kukuona
Ingali mabaya yali shuhudia
Na kidogo nilicho kua nacho
Ndo fanya uka ni kimbia
Yani kama nili chomwa na mwiba mahali
Maumivu yakanipa shida na
Siunge sema kama umeshiba mapenzi yangu
Mapenzi yangu wee
Maana uliyo fanya sioya kawada maa
Je ungeniua na cha roho kijiba na
Nika ji kokota huku nikimwomba mungu wangu kutwa aniponye
So kwa ubaya
Nime jiuguza na nimepona wewe
Nime jiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nime jiuguza na nimepona
Yalini tesa ila sijafa
Nime jiuguza na nimepona

Wenda uli wish nipite mabaya
Moyo wako si umejenga shuki sawa
Changu kindege umeota mbawa
Hauja niuza bure bure umenigawa
Nenda utapata anae kupenda
Wenda utampenda be aaya
Mi kosa kukupenda ukaniona mwana kwenda aaya
Nilipo ongeza upendo mabaya ulifanya dhahiri kwa vitendo
Kumbe zero malengo, kwa ngu uli follow tendo
Zile baby baby
Kumbe ulinizuga baby
Yani kama nili chomwa na mwiba mahali
Maumivu yaka nipa shida na
Siunge sema kama umeshiba mapenzi yangu
Mapenzi yangu we
Maana uliyo fanya sioya kawada maa
Je ungeniua na cha roho kijiba na
Nika ji kokota huku nikimwomba mungu wangu kutwa aniponye
So kwa ubaya
Nime jiuguza na nimepona wewe
Nime jiuguza na nimepona
Mi mzima wa afya
Nime jiuguza na nimepona
Yalini tesa ila sijafa
Nime jiuguza na nimepona

Watch Video

About Nimepona

Album : Nimepona (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 30 , 2023

More IBRAAH Lyrics

IBRAAH
IBRAAH
IBRAAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl