Sawa Lyrics by HAMIS BSS


Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Kabla usiku kulala, Mola namuomba sana
Nafanya dua kwa sala aah, kesho niweze kuiona 
Anipe na afya bora, tena nizidi pambana
Aniepushe misala, ooh nisirudi nyuma

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Uniepushe mabaya dunia mbele yasije nikumba
Napiga goti kwa uchungu nalia, uninusuru muumba
Katu nisikate tamaaa niende kutafuta tonge
Anipatia ah nilale njaa moyo niupige konde

Anitunzie na riziki yangu
Masikini nitapata
Anilindie na mama yangu
Na mi nizidi mkumbuka

Binadamu fahamu
Tumeumbiwa matatizo
Hakuna chungu na tamu
Aiyee eh eh

Ni sawa hata nikipata ni sawa
Ni sawa hata nikikosa Inshallah
Ni sawa anayetoa ni Mola
Ni sawa oooh ni sawa

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 13 , 2020

More HAMIS BSS Lyrics

HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl