HAMIS BSS Achaniongee cover image

Achaniongee Lyrics

Achaniongee Lyrics by HAMIS BSS


Mambo mengine madogo 
Hayahitaji kugombana
Unajifanya fundi shobo
Kuongea yaso maana

Kugombana na boss wako
Unaingia kuchambana
Eti si bora ungefanya yako
Size yako kina nana

Ooh kweli kuna watu na viatu duniani
Ugomvi wa ndugu wewe wakuhusu nini
Ama shoga yake Paula, asa gugu wa nini
Unajikuta mvimbaji, doctor wa kiume utaveshwa bikini

Acha niongee, hahaha kimeumana
Acha niongee, mtoto mdogo unataka kusafiria nyota eeh
Acha niongee, eeh najua utajibu ila acha niongee kwanza
Acha niongee, bado sana, bado bado

Mwanaume kaumbiwa kifua
Sio kila kitu lazima useme
Na siye yako twayajua
Mambo ya vizinga ndo usiseme ee
Eti unaona umeyabadia maisha
Na taabu hukuiona kuni unfollow kwa Insta

Ooh kweli kuna watu na viatu duniani
Ugomvi wa ndugu wewe wakuhusu nini
Ama shoga yake Paula, asa gugu wa nini
Unajikuta mvimbaji, doctor wa kiume utaveshwa bikini

Acha niongee, hahaha kimeumana
Acha niongee, mtoto mdogo unataka kusafiria nyota eeh
Acha niongee, eeh najua utajibu ila acha niongee kwanza
Acha niongee, bado sana, bado bado

Nakuona unapenda kujikweza, acha shobo
Babu jinga unapenda kujikweza, acha shobo
Hakuna posti linakupita mjomba wee, acha shobo
Vya watu unapenda sana kuvijua, acha shobo

Vimeshuka vimemsimama, eeh vimemsimama
Oh kamshipa kamemsimama, eeh kamemsimama

 

Watch Video

About Achaniongee

Album : Achaniongee (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 14 , 2021

More HAMIS BSS Lyrics

HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl