BEKA FLAVOUR Hapa Kazi Tu cover image

Hapa Kazi Tu Lyrics

Hapa Kazi Tu Lyrics by BEKA FLAVOUR


Hey eeh CCM, hapa kazi tu
Hapa kazi tu

Kama kinda la ndege 
Nimetuliza na CCM nyumbani
Ona wale banduku wanahanya hanya
Kule vyama pinzani

Umelipata jembe 
Limefukia mashimo yote jamani
Wanatetemeka
Magufuli hanaga upinzani

Tena, habagui kabila 
Jinsia wala dini
Wote sawa 
Wale matajiri na sisi masikini

Kajenga na barabara za chini na juu
Kama zote
Usafiri wa mabawa wa Tanzania
Safiri kokote

Sasa huduma za afya vijijini kibao
Kibao kibao
Kaongeza na madarasa na waalimu kibao
Kibao kibao

Magufuli kweli chata wenye chuki kivyao
Kivyao kivyao
Mafisadi wamechacha we ndo kiboko yao
Yao

Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)
Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)

Kwanza wenye vyeti feki
Umewapanguza aheee
Kwenye kazi hucheki
Unakunja ndita

Wakina mama umewapiga jeki
Kwa kuwawezesha
Wenye midogo mitaji
Ushuru umefuta

Umejenga reli ooh 
Standard gauge mwendo kasi
Daraja la ferry ooh 
Bandari zetu mambo safi

Nani nani nani eeh
Asiyekupenda Magu eeh
Kweli kazi uliofanya
Umefanya uchumi upande kasi eeh

Magu Magufuli eeh
Asiyekupenda ni nani baba
Hapa kazi tu
Tanzania ije kuwa kama mbele

Sasa huduma za afya vijijini kibao
Kibao kibao
Kaongeza na madarasa na waalimu kibao
Kibao kibao

Magufuli kweli chata wenye chuki kivyao
Kivyao kivyao
Mafisadi wamechacha we ndo kiboko yao
Yao

Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)
Wakikutia doa tutakusafisha Magufuli(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Magu baba ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Mama Samia ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Majaliwa ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Watch Video

About Hapa Kazi Tu

Album : Hapa Kazi Tu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 18 , 2019

More BEKA FLAVOUR Lyrics

BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl