Hunijui Lyrics by NAY WA MITEGO


Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia
Ninachojua maneno hayavunjagi mifupa
We niseme na ukiishiwa maneno nitakupa
Yaani ninavyoishi sio kama wanavyotaka wao
Wanahabari zangu cha ajabu sinaga zao
Hawanibabaishi hata waniwekee mikao
Wacha waongee maana mdomo mari yao

Mimi, ukinichukia nami nitakuchukia
Mimi, usipopiga nami sitokupigia
Mimi, ukibeba goma langu nabeba la kwako pia
Ukichepuka nami nachepuka dear

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi

Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia

Asubuhi mzigoni, jioni tunakula beer
Kama hunioni sikuoni
Ukiniona nakuona pia

Unga unga mwana ndo maisha ulozoea
Unajifanya nunda mwenzako nishabobea
Ukileta mdomo uswazi ndo nakotokea
Haya leta hadithi zako utamu kolea

Wanashangaa navimba na sina hata mia
Na sio kama ni ushamba
Ila ndo maisha nilochagua 

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi

Unanijua mimi, au unaniskia?
Unanijua mimi wewe, utakuwa unaniskia

Am living my life acheni nienjoy
Ukaskiza ya watu aki ya Mungu hutoboi
Yeah yeah yeah yeah, ah yeah yeah yeah

Watch Video

About Hunijui

Album : Hunijui (Single)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 13 , 2022

More NAY WA MITEGO Lyrics

NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO
NAY WA MITEGO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl