
Paroles de Gere
...
Paroles de Gere Par WHOZU
Boya mie mie
Mjinga wa mapenzi haswaa
Fala mie oh mie
Na kwake mimi nishanasa eeh
Supu haipandi mama nikikuudhi
Naomba samahani mama aya wee
Figo zitafeli mamaa pombe siziwezi
Utanikuta mortuary mama
Wa kwangu ni tam, tam tam tam
Mabo bam bam, bam bam
Twapenda zam zam, zam zam
Hunishi ham, ham ham ham
Wanaona gere
Ona wanaleta jealous
Wanaleta wivu
Ona wanaleta jealous
Na wivu utawauwa
Ona wanaleta jealous
Wanaleta wivu
Ona wanaleta jealous
Wivu utawaua
Wanavyosema riziki mafungu saba ah
Atuzidishie maulana mi nasema
Tuyazidishe mahaba oh
Kukuacha mwiko laana wewee
We familia yangu wewe ah
We mwanangu mwenyewe aah
Mi siwezi ishi bila wewe ah
We mwanangu mwenyewe aah
Kitu nacho ogopa kua mbali nawezaje hii hali hili Ali Kiba
Supu haipandi mama nikikuudhi
Naomba samahani mama aya wee
Figo zitafeli mamaa pombe siziwezi
Utanikuta mochwari mama
Wa kwangu ni tam, tam tam tam
Mabo bam bam, bam bam
Twapenda zam zam, zam zam
Hunishi ham, ham ham ham
Wanaona gere
Ona wanaleta jealous
Wanaleta wivu
Ona wanaleta jealous
Na wivu utawauwa
Ona wanaleta jealous
Wanaleta wivu
Ona wanaleta jealous
Wivu utawaua
Ecouter
A Propos de "Gere"
Plus de Lyrics de WHOZU
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl