ALI MUKHWANA Nikuabudu cover image

Paroles de Nikuabudu

Paroles de Nikuabudu Par ALI MUKHWANA


Hakuna Mungu mwingine 
Kama na wewe Yesu
Tunaliabudu jina lako mfalme

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Wewe ni zaidi ya mshindi
Wewe ni zaidi ya mshindi
Tangu enzi unaitwa Mungu
Unaitwa Mungu mwema
Ni nani mwingine aliye kama wewe
Wewe bwana 

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Hakuna kama wewe Yesu
Hakuna mwenye neema kama yako mfalme

Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba
(Unitunuku hivi baba)
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa uhai bwana 
Mausia yako kaiweka sahihi

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Katika majaribu Ayubu alishinda
Wana wa Israeli ukawashindania
Na mimi najua utanishindania
Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe

Kile nakuomba mpe sifa zote
Kwako Yesu

Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote
Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote bwana

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Ecouter

A Propos de "Nikuabudu"

Album : Watakusema (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 25 , 2020

Plus de lyrics de l'album Watakusema

Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl