ALI MUKHWANA Sifa cover image

Paroles de Sifa

Paroles de Sifa Par ALI MUKHWANA


(Still Alive)

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Uliyenipa uzima (Zima)
Uzima wa bure (Bure)
Unastahili sifa Bwana

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Uliyeziumba usiku na mchana
Mimi mwenyewe ni kazi ya mikono yako
Baba nitumie jinsi upendavyo
Nami nitumike jinsi utakavyo

Eh maana bila wewe mimi ni kazi bure (Bure)
Maana bila wewe mimi si chochote

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Pokea, pokea sifa bwana
Pokea chukua Yesu
Pokea chukua Yesu, pokea chukua 
Pokea chukua Yesu, pokea chukua

Kwa haki yako nimetawala dunia
Kwa haki yako nimepata kibali
Kwa haki yako nimetawala duniani
Kwa haki yako umenipa kibali

Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 
Unastahili sifa bwana Mungu
Unastahili sifa bwana 

Ecouter

A Propos de "Sifa"

Album : Watakusema (Album)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) Still Alive Production Limited
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Oct 25 , 2020

Plus de lyrics de l'album Watakusema

Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl