Paroles de Msalaba
Paroles de Msalaba Par ALI MUKHWANA
Yesu uzima wangu bwana
Mfariji wangu kiongozi wangu
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Oooh Yesu sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukemea
Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukemea
Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana
Kwake nitang'ara
Mti wake sitaukana
Ni neno imara
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Bwana wangu, Mungu wangu
Ndilo jina lake
Sitakana kulisifu
Ni yeye muumba wangu
Bwana wangu, Mungu wangu
Ndilo jina lake
Sitakana kulisifu
Ni yeye muumba wangu
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema
Nitautua mzigo wako
Nina uzima furaha daima
Njooni tufurahi kwako
Ecouter
A Propos de "Msalaba"
Plus de lyrics de l'album Watakusema
Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl