Paroles de Wewe Ndiwe
Paroles de Wewe Ndiwe Par ALI MUKHWANA
Niwe, niwe kiongozi wangu
Niwe, niwe kiongozi wangu
Wewe niwe kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Rabana nikulipe nini
Kwa yale yote unayonitendea
Unayoitendea
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa neema mbele ya wanadamu
Mbele zako wewe niwe
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Mlinzi wangu daima ni wewe
Kiongozi wangu baba, mlim=nzi wangu
Tegemeo la moyo ni wewe yea yeah bwana
Jehovah Nissi, -- sema
Tegemeo la moyo wangu
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Hao watesi wanaokusumbua
Usilie hautawai waona tena
Wanaokuhangaisha kila siku
Usilie yuko bwana
Wewe niwe, kiongozi wangu
Wewe niwe mlinzi wangu
Wakati wa majaribu
Wakati wa shida
Niwe, niwe, kiongozi wangu
Niwe, niwe, kiongozi wangu
Ecouter
A Propos de "Wewe Ndiwe"
Plus de lyrics de l'album Watakusema
Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl