Niwewe Lyrics by DOGO SILLAH


Am sorry mama
Kwanza naanza kwa kukupa shikamoo
Za siku nyingi
Si nyumbani tupo salama

Najua, wewe na daddy mna ugomvi
Ila mimi hainihusu
Nachokuomba urudi nyumbani

Japo daddy hakuniambia (We mama)
Ila mimi nimekujua (We mama)
Nayo picha inaongea, mama

Hivi kweli uloniambia (We mama)
Hujawahi hata kulea (We mama)
We mwenyewe unalelewa (We mama)
Hapana 

Mi nakosa la kufanya
Mawazo juu yako 
Nikitazama picha yako ni wewe

Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe!

Yaani nikikutazama
Na kwenye picha ni yule yule
Ina maana unanikana
Elewa mimi mwanao

Kama makosa mwanadamu tumeumbiwa
Rudisha moyo wako nyuma
Urudi kwa baba

Kupika mwenzako nimechoka
Madeko wenzangu wanapata
Hata kama nimekufananisha
Nakuomba wewe uolewe na baba

Mi nakosa ya kufanya (We mama)
Mawazo juu yako  (We mama)
Nikitazama picha yako ni wewe (We mama)

Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe!

Japo daddy hakuniambia (We mama)
Ila mimi nimekujua (We mama)
Nayo picha inaongea, mama

Hivi kweli uloniambia (We mama)
Hujawahi hata kulea (We mama)
We mwenyewe unalelewa (We mama)
Hapana 

Watch Video

About Niwewe

Album : Niwewe (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 11 , 2020

More DOGO SILLAH Lyrics

DOGO SILLAH
DOGO SILLAH
DOGO SILLAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl