DOGO SILLAH Mungu Wa Neema cover image

Mungu Wa Neema Lyrics

Mungu Wa Neema Lyrics by DOGO SILLAH


Sillah

Asante mungu
Kwa kunitunuku music eeh
Nikipiga snare watu wakufa na kiki
Ila na swali moja vipi kuhusu riziki eeh
Maana kitambo saana anauliza shabiki eeeh
Hivi siwezi kutoka mpaka nifanye makiki eeh
Au niende kwa mganga nianze kukata vijiti
Hivi unakumbuka nilikataa shetani
Nikakuamini wewe, nikaweka imani na wewe
Sikujutaa ah nikasema utanipa wewe
Maana hata hawo wachawi wanasema wamepewa na wewe
Ye ye ye nakosea wapi nakwama wapi
Mbona kila kukicha mwanao nazidi fanya mitikasi
Ye ye ye niende wapi nichukuwe wapi
Ulipo weka hiyo furaha yangu niambie basi

Uje basi unipe mapema (mapema)
Mapema mapema (mapema)
Ukishidwa kuja fanya kusema (kusema)
Fanya kuseme (kusema)
Goti kwako napiga tena
Napiga tena natena
Nakungoja wewe mungu wa neema
Mungu wa neema

Wengine wanasema naweza
Kitaa kinanipongeza
Bidii nizidi ongeza naiongeza naiongeza
Wengine wanaponda
Wanasema nakonda
Ila siuachi baba moyo unazidi kungoja
Ye ye ye, he eee
Mungu wa neema
He he he, he eee
Mungu wa neema

Watch Video

About Mungu Wa Neema

Album : Mungu Wa Neema (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jan 10 , 2022

More DOGO SILLAH Lyrics

DOGO SILLAH
DOGO SILLAH
DOGO SILLAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl