Umekopwa Lyrics by D VOICE


Si wanapenda kubang
Eti watu hivi mjini na nyota zao
Ya kwako ishafifia
Sasa unadangia nini?
Umekesha kimboka hujarudi hata na mia

Shoga kichwa cha panzi 
Bia moja umezima umetupwa kisavia
Alafu kesho unavimba unatamba 
Na wigi umegongea wewe

Kumbe ndo maana umekopwa
Umekopwa, umekopwa
Na Mashalove, umekopwa 
Umekopwa, umekopwa
Ona ndo maana umekopwa
Umekopwa, umekopwa
Na jike shupa

Unajifanya mtoto wa mjini
Na juzi umekopwa
Unajifanya mtoto wa mjini
Na juzi umekopwa

Unajifanya pisi kali
Sa mbona umekopwa?
Unajifanya pisi kali
Sa mbona umekopwa?

Kwani shoga umalaya umechanjia
Maana bingwa kutaka fazambia we
Ulipopanga hata chumba hujalipia
Lile danga limekukimbia ona
Majanga umerudi huku unalia
Ndo maana umekopwa

Dada nipe sitokuwacha walai
Bomba bomba haikatopsi haikatai
Na ukinipa sherehe mama mchumba na sherehe
Swafi haina kwelele, Ukucha umepata upele

Ukitaka mbele kalia, ukitaka nyuma utalia
Bi shosti si uliyataka mwenyewe 
Ulisema na kibamia, aii mama

Mpaka kifo kia pocha shela na tai
Leo nikopeshe niko mbaya haifai
Baby washa haifai
Maana mbili haikai, wala tatu haikai
Sitasimama masai
Baby niwai ntakufa mwenzako ushakula vitu
Alafu bao langu la ushindi halivutiki kwa tissue

Kumbe ndo maana umekopwa
Umekopwa, umekopwa
Na Mashalove, umekopwa 
Umekopwa, umekopwa
Ona ndo maana umekopwa
Umekopwa, umekopwa
Na jike shupa

Unajifanya mtoto wa mjini
Na juzi umekopwa
Unajifanya mtoto wa mjini
Na juzi umekopwa

Unajifanya pisi kali
Sa mbona umekopwa?
Unajifanya pisi kali
Sa mbona umekopwa?

Haa, kane kane, si wanapenda kubang
Pasha pasha pasha pasha, twende ganda moja
Ganda mbili, ganga tatu
Pasha pasha pasha pasha, twende ganda moja
Ganda mbili, ganga tatu

Nawaita wanangu wee, hee
Eeh bajita, hee
Nawaita wanangu wee, hee
Bajita, hee

Basi twende nionyeshe kiuno, cha Fally Ipupa
Masela kiuno cha Fally Ipupa
We jombi nionyeshe kiuno, cha Fally Ipupa hiko
Nionyeshe kiuno, cha Fally Ipupa

Obey nionyeshe kiuno, cha Fally Ipupa
Montana nionyeshe kiuno, cha Fally Ipupa
Wanangu bado mdogo lakini anapenda chura
Mashalove bado mdogo lakini anapenda chura
Wanjala bado mdogo lakini anapenda chura
Yule dada bado mdogo lakini ana

Watch Video

About Umekopwa

Album : Umekopwa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 20 , 2021

More D VOICE Lyrics

D VOICE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl