...

Nani Lyrics by D VOICE


Aii sweet

Kuna kitu mi nataka nikwambie

Lakini naogopa

Utaniona ka nina wivu hivi

Ooh sweet

Nikuonong’oneze wa pembeni wasisikie

Maana naogopa

Wataniona ka nina wivu hivi

Asa sijui ndo ujinga

Sijui ndo ufala

Au sijui mazoea

Ila napata tabu ukiwa mbalii maa

Mana nashindwa

Kula ata kulala

Mnyonge nanyong’onyea

Mwenzio napata tabu ukiwa mbali maaa

Honey kwako michizi poyoyo

Usiende mbali na mi

We ndotulizo la moyooo

Honey kwako michizi poyoyo

Usiende mbali na mi

We ndotulizo la moyooo

Oh na kama si wewe (nani)

Wakuniliwaza (nani)

Kunibembeleza (nani)

Oh kunipepea nilale (nani)

Oh na kama si wewe (nani)

Wakuniliwaza (nani)

Kunibembeleza (nani)

Wa kunipepea nilale (nani)

Zuchu chu chu

Kuna vyenye utimamu

Unanitoka nakuwa chakalamu

Hii inaiitwaje kitaalamu

Ukitajwaa kimoyo mi paaa

Why why utamu

Mshwiti shwiti babugamu (babugam)

Yaani nyam nyam nyam nyam

Ndio mapenzi au ufalaa

Why why why

Kwanza yote tisa kumi

Moyo umeuwamisha kambi

Unanipa penzi sabuni

Lanitakatisha dhambi

Wanao subiri

Livunjike penzi hili

Hatutishwi na tumbili

Kuachana apange mwenyezii

Honey kwako michizi poyoyo

Usiende mbali na mi

We ndotulizo la moyooo

Honey kwako michizi poyoyo

Usiende mbali na mi

We ndotulizo la moyooo

Oh na kama si wewe (nani)

Wakuniliwaza (nani)

Kunibembeleza (nani)

Oh kunipepea nilale (nani)

Oh na kama si wewe (nani)

Wakuniliwaza (nani)

Kunibembeleza (nani)

Wa kunipepea nilale (nani)

Watch Video

About Nani

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : Farida
Published : Aug 07 , 2024

More D VOICE Lyrics

D VOICE
D VOICE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl