
Nionyeshe Lyrics
Nionyeshe Lyrics by Q CHILLA
Oooh mapenzi
Oooh, eeh mapenzi
Meli ishaweka nanga
Usiwape taabu waganga
Eti uniroge
Ya kazi gani?
Zinga kipande cha kanga
Uje tulicheze vanga
Kisha nikoge
Unikande mabegani
Mmmh
I wish uone moyo wangu
Ulivyojawa makovu
Huenda utanionea huruma
Nahisi we ndo dawa yangu
Umeshushwa mwokovu
Nisikumbuke ya nyuma
Hey
Mwenzako nishapitia mikasa
Drama kila wakati
Shahidi yangu mwenyezi
Mmmh
Hadi nikahisi nina nyota ya tasa
Ama sina bahati
Aah katika mapenzi
Basi nionyeshe
Nionyeshe! Unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Mmh unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Walonitenda mpaka waone haya
Mmmh
Jichunge na peji za udaku
Yasemwayo ni ya uwongo
Akina Mange kimambi
Ogopa na manyaku nyaku
Mahodari waongo
Wasije kuweka kambi
Nikipata tule wote
Nikikosa utangoja, richwa tulale
Wasikutishe chochote
Waso isha vihoja vichwa kambale
Nikianguka niokote
Tusimame pamoja sare sare
Hadi tuzikwe sote
Utoge ndonya ukongoje mmakonde chale
Mmmh
I wish uone moyo wangu
Ulivyojawa makovu
Huenda utanionea huruma
Nahisi we ndo dawa yangu
Umeshushwa mwokovu
Nisikumbuke ya nyuma
Basi nionyeshe
Nionyeshe! Unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Mmh unavyonipenda mwaya
Nionyeshe! Walonitenda mpaka waone haya
Oooh my God its Spencer
Watch Video
About Nionyeshe
More Q CHILLA Lyrics
Comments ( 1 )

Cool
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl