ALIKIBA Mahaba  cover image

Mahaba Lyrics

Mahaba Lyrics by ALIKIBA


Yeah
Yogo on the beat
Siku hizi hakuna Mahaba (yeah mahaba)
Mapenzi ya Mkataba mpaka kufa yamekwisha
Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha Yanafuja raha nafsi yangu inasema
Bura nimpende tu aliyenizaa
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Na sina kumbukumbu  ile
kwamba ulinikoshaaa noo
Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya Nisile
Na sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikoshaaa noo
Mwezako mi nilikufa
Nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Sikiliza kwanza
We Dada, we Dada
Misio mgensi
Yalishannikaba mapezni   yalinikausha
Natamani kuwa single ila na upwiru unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndo mi wanaonitoa roho
Na siri tu jambo lile ni kama chakula lazimanile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Na siri yake tu jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na Ufundi wa kutosha Ooh
Mwezako mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa yalinitupa nimefufuka eeh
Mi nilikufa nikazikwa nikaoza
Mapenzi yalinitesa nimefufuka eeh

Watch Video

About Mahaba

Album : Mahaba (Single)
Release Year : 2023
Copyright : ©2023 Kings Music Records.All rights reserved.
Added By : Sainclair Fonkou
Published : Jun 30 , 2023

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl