BABA LEVO High na Low cover image

High na Low Lyrics

High na Low Lyrics by BABA LEVO


Here is another one
Touch, take five now

Low inafanya niwakabe koo
Low inafanya hawahemi mabishoo
Low, mara kip nasambaza floor
Nawabana kimya kimya kama brother Jemo

Low, wanapopatia riziki napaziba
Mi ndio kivuruge nawavurugia ratiba
Low, anga zao nimegeuka mwiiba
Kwenye magetto yao wametandaza misiba

High, high, kwa hii beat kali nawafunza
Ushafukwa mwanangu wa kitaa nikaminuza
High, high, alokutuma kwangu kakutuza
Bado nina moto mkali naunguza

High, high, kama lakukera bro sorry
Na kama inauma haina jinsi bro pole
High, high, bado la kichanga dole
Natafuta ugali homework onyee

Low, inawafanya wanibembeleze
Nimekaza sana wanataka nilegeze
Low inawafanya wajipendekeze
Nina domo kubwa hawataki niwameze

Low, nawang'aza kama black virus
Nina confidence na simpi mjinga faida
Low, nawachambua ki Kalori Saida
Sijamaliza mishe mwendelezo wa tondolaila

High high, aki ya Mungu siwapendi polisi
Wanaotubandika kesi mitaji wanafilisi
High high, kuwachana humu haina jinsi
Hata niimbe choir kuna mistari tatisi

High high, haina haja ya kuogopana
Hii dunia kubwa dunia uwanja upana
High high, haina haja ya kuogopa balaa
Mngetupa nafasi tuiendeleze sanaa

Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo
Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo

Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo
Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo

Low inafanya nionekane serious
Nawapa michongo wana wana wananiona genius
Low inafanya nijione curious
Walioshindana nami wote wameitwa failures

Low, wanashangaa kila siku nipo
Mbona sipotei kama nyani ni filipo
Low, wanashangaa mbona nipo sipo
Mtu wa zamani tangu K Town people

High high, nashukuru Alhamdulillahi
Ewe Mungu Baba nipe kazi zenye masilahi
Na hapa astaka fillulahi 
Wasanii wachawi kwenye mziki wetu hawatufai

High high, huku tunawaza vitu tubebane
Wao wanawaza kwa waganga walogane
High high, bora kama vipi ijulikane
Nani kigatula mwenye pepo tulikane

Low, basi wote mmesamehewa
Haya ni maombi na nyi nyote mmeombewa
Low, hiki ni kipaji sio ngekewa
Naweza imba pombe na nyi nyote mkalewa

Low, huu ni uwezo nilopewa
Wajanja wachache natumai mtaelewa
Low, hiki ni kipaji sio ngekewa
Naweza imba pombe na nyi nyote mkalewa

High high, naweza mezani chungu tasa
Na nilivyojaa ka Benjamin Mkapa
High high, nani anabisha kuja hapa
Skia beat ya T na serious inavyochapa

High high ngoma inakimbiza fielder kipai
Ngoma imejiseti kivyovyote mambo yakatai
High high wasanii wa chobo sasa bye bye
Hii kama ngama hainyongi kama nimevaa tai

Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo
Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo

Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo
Low, pipipi popopopo
High high, pipipi popopopo

Watch Video

About High na Low

Album : High Na Low (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 31 , 2020

More BABA LEVO Lyrics

BABA LEVO
BABA LEVO
BABA LEVO
BABA LEVO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl