...

Peace & Love Lyrics by DJ SEVEN


Asante Mungu kwa kila siku unayotuingezea

Ni wazi kabisa kwamba unatupendelea

Kama makosa mbona daily tunakukosea

Upendo wako kwetu ni mkubwa nashindwa kuelezea

Viumbe wako wanaishi kwa visasi

Kuonyeshana love and peace hawataki

Dunia ingetawaliwa na mioyo safi pengine kusengekuwa na polisi na risasi

Yaani kitu sio kitu tunachangiana

Ndugu mmoja kwa mwenzio mapenzi hana

Kwenye kutafuta riziki kuna mengi sana

Wapo wanaopenda utoboe

Wapo ambao hawapendi bwana

I wish tungeishi kwa peace and love

Everyone would have a decent life

Mitaani kwote kuzagae kiss and hugs

Tungeiweka hii dunia into different vibes

So let’s depend on prayers

God will lead us on the way out

And if we do good stuff when we get there

Only good stuff he gonna pay us

Tunavoishi wala so dunia inavyotaka

Ila tumependa wenyewe

Na ni rahisi we kubadilika kuanzia sasa

Change good kuishi peace and love

Yeah peace and love

(...)

Watch Video

About Peace & Love

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Apr 03 , 2025

More DJ SEVEN Lyrics

DJ SEVEN
DJ SEVEN
DJ SEVEN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl