Yanachosha Lyrics by BARAKAH THE PRINCE


Kama ningeweza kupata ushauri
Hila tatizo maumivu ya mapenzi
Hayawezi kushaurika
Nakama nikuweza kupa moyo kiburi
Kutharau na kupuuza yote yanayo fanyika
Liko wapi shama la penzi
Palipo pandwa mapenzi ya kweli
Name nikavune upendo nasio kila siku kejeli
Wako wapi wagwea mapenzi wakanipe mafunzo jamani
Name nikajue yatakacho labda nip ninapo feli (yanachosha)
Matendo yako ya kila siku (yanachosha)
Maumivu yako akili yangu (yanachosha)
Uuh uuuh uuuuh (yanachosha)
Kwani nauona mwisho wako na wangu mama

Tatizo bado kwako nangangana na sioni nacho ngangania
Hila najua upo mwisho wa maumivu pindi nitapo disappear
Nikinyanyua upendo weh unangusha
Nikiweka malengo weh unayaruka
Nini unataka mbona unanichosha mmmh
Aki unchosha (yanachosha)
Kwani matendo yako ya kila siku (yanachosha)
Maumivu yako akili yangu (yanachosha)
Uuh uuuh uuuuh (yanachosha)
Kwani nauona mwisho wako na wangu mama

Kama ni ubwege me ni bwege sawa
Kila kisifanye ukaotambao
Kwani mwisho jua lazima kuzana
Nitazama penzi litanizamisha
Kama ni ubwege me ni bwege sawa
Kila kisifanye ukaotambao
Kwani mwisho jua lazima kuzama
Nitazama penzi litanizamisha
Nikinyanyua upendo weh unangusha
Nikiweka malengo weh unayaruka
Nini unataka mbona unanichosha
Eeeh baby unachosha
Nikiweka malengo weh unayaruka
Nini unataka mbona unanichosha
Nini unataka baby aki unachosha (yanachosha)

Watch Video

About Yanachosha

Album : Yanachosha (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Jun 16 , 2021

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl