...

Nikatoke Nao Lyrics by BARAKAH THE PRINCE


Ya nini unipande kichwani baby ya nini ooh

Ya nini unilazimishe na sina nilichokifanya mimi

Mwili sexy burudani kwa mwanaume sikatai burudani

Mbona nje sitamani niwe naye kupenda wapaswa kunia mini

Why why unilazimishe unilazimishe kuninyima na Amani ndani

Ata zikipigwa calls za madada unadai michepuko yani

Kwanini unaforce nikubaliane na wewe

Hayo unayoyasema nisha yaacha muda

Na hunipi nafasi unaongea mwenyewe

Hayo unayoyasema nisha yaacha muda

Baby oooh shida nini

Au nikatoke nao ndio ufurahie nikatoke nao

My baby please focus

Wapi kwani unakwama maana unvyoviwaza siviwazi kuvifanya

Maana you don’t care

Wazingua papana venye unavyowaza yapaswa uwaze msichana

We ni wife material one in a million

Hawaning’oi hata waje na millions

The love iko real sio video

I know that so ata hakuna maigizo

Hata kipofu hangekupinga

Na mi mwanao nairinga

Nishakua wako baby ringa

Ujinga siwezi kutenda

Najua unahisi ni pisi kazi

Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi

Nakuweka wazi

Najua unahisi ni pisi kazi

Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi

Nakuweka wazi

Au nikatoke nao ndio ufurahie nikatoke nao oooh

Nikatoke nao ndio ufarihie nikatoke nao nikatoke nao oooh

Najua unahisi ni pisi kazi

Napoelekea fukuzwa kazi baby iko wazi

Nakuweka wazi

Watch Video

About Nikatoke Nao

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : (C) 2020 (BML) BANA MUSIC LAB.
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 17 , 2025

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl