Nimekoma Lyrics by BARAKAH THE PRINCE


Yalivyonifanyia mapenzi 
Mi siibi yangu tu
Oooh kila siku mimi wa kuyasujudu

Sitaki kurudia hiyo hali 
Bachela wa nguvu
Naapa yamini mpaka aamue Mungu

Yamechubua nafsi yangu 
Vipi nidanganye
Nizame kila siku 
Kwenye mapenzi nikwame
Kuparamia paramia

Mwenzenu naomba nikome 
Mapenzi rungu mwiba
Nikikupata sumu halina tiba
Mwenzenu nimekoma 

Kupaparukia haja zangu
Ila leo nimekoma
Yakafanya nikaonekana ngoma
Mwenzenu nimekoma

Na japo yana matamanio 
Macho yangu ila nimekoma
Na mapenzi ya leo ooh

Huwezi amini kuwa 
Nilidanganywa niko peke yangu
Lisilo ubani lenye kuvunda
Likavunda penzi langu

Ya nini ujipe taabu?
Mapenzi hayana ustaraabu
Wengi wameyapa adhabu
Wenye mali na makapu

Maumivu pia, sawa
Wenye uaminifu kiza haya
Nini cha kuuliza Bwana?
Tafuta size yako maana

Boresha boresha, sawa
Nitakukomesha, haya
Na kwanini unakesha, haya
Machozi yanatoka

Naamua mwenzenu nime-koma
Kupaparukia haja zangu ila leo nimekoma
Yakafanya nikaonekana ngoma mwenzenu nimekoma
Na japo yana matamanio macho yangu ila nimekoma
Na mapenzi ya leo ooh

Na si mi nakimbi kimbi kimbi kimbia (Mbio)
Mapenzi nayakimbia (Mbio)
Sipaki kurupukia, leo nimekoma

Oooh nakimbi kimbi kimbi kimbia (Mbio)
Mapenzi nayakimbia (Mbio)
Oooh nimekoma

Watch Video

About Nimekoma

Album : Nimekoma (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 14 , 2020

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl