Mawazo Lyrics by BARAKAH THE PRINCE



Eeeh… yeaaaah… Hmmm

Nilisha afanyia makeke
Mapepe malipo yakawa makuzi
Kwakuchukuliwa mke bwana
Nikamwaga pesa zote
Kote yakanifanya mpuuzi
Acha adhabu nishike jamaa

Hiyo yote niliamini mepenzi ni imani ooho
Na kuhonga nilidiliki mpaka magari yeah
Bado yalinidhibiti mapenzi jamani oh yeah
Bado pia pia niliyaongezea sikukimbia

[CHORUS]
Oooh mawazo (oooh jamani)
Oooh mawazo, Mawazo, mawazo
Ooh mawazo
Yalinikata usingizi
Yalinikomesha mawazo
Ya mapenzi
Mawazo, (ooh) mawazo mawazo
Ooh mawazo  ooh
Na bado niliyathamini

Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda
Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda mawazo

Na lililokua kubwa hitaji langu mapenzi
Bado yakawa ni maigizo kwangu ushenzi
Yalirudisha nyuma ilo imani yangu ya penzi
Ni vigumu kuamini
Yapo mapenzi pasina penzi
Maana upo mawazo (Mawazo mawazo)
Mawazo mawazo
Yalini kondesha

Nilibaki mifupa sababu ya mawazo
Ooh mawazo  Mawazo mawazo
Yaliniumiza mawazo
Mwenzenu she broke my heart

 [CHORUS]
Oooh mawazo
Oooh mawazo, mawazo, mawazo
Ooh mawazo oh mama
Yalinikata usingizi
Yalinikomesha mawazo
Mawazo, (ooh) mawazo mawazo
Ooh mawazo ooh
Na bado niliyathamini
Eeehhhh

Na bado niliyathamini
Mambo mengi unaweza tedwa
Wala usiji pump ukarudia kupenda mawazo

 

Watch Video

About Mawazo

Album : Mawazo (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Nov 06 , 2018

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl