Tamba Lyrics by ALIKIBA


Yeah oh oh oh oh...
Yeah, yeah, ooh mmmh mmh
(Yogo on the...)

You have cute face, kama mazima umefanana na mimi
Ooh mwenyezi kanibless
Nasimama wima, bwana baba ndio mimi eeh

Ngoja kwanza doctor nesi
Moyo wanienda race
Nilingoja miaka miezi
Ooh, furaha yangu kipenzi-ii

Nilijitoa kwa hali ooh
For you baby, eeh for you
Nipoteze zangu mali eeh
For you baby, eeh for you

Nachinja mbuzi asali ooh
For you baby, eeh for you
Leo nafuta dosari
For you baby, eeh for you

Asante Mungu wangu wee (Iyee iyee)
Kuniheshimisha, una msitiri na mke wangu
Vidudu mtu leo twawakera
Wamekosa la kusema, leo tamba mke wangu

Aah aah, oooh ooh....
Naionyesha hadharani
Hii furaha iliyo ndani yangu aah
Leo nimempata pacha, pacha wa damu yangu
Na sio swala dogo, kupata mtoto ni baraka
Licha ya tendo kufanywa na wengi
Na wachache ndo hupata

Ajabu wanatupa na povu
Marafiki na ndugu waliokuimbia taarabu
Roho-roho zao zimejawa makovu
Kutwa kupiga majungu, wamepoteza dhahabu

Nilijitoa kwa hali ooh
For you baby, eeh for you
Nipoteze zangu mali eeh
For you baby, eeh for you

Nachinja mbuzi asali ooh
For you baby, eeh for you
Leo nafuta dosari
For you baby, eeh for you

Asante Mungu wangu wee (Iyee iyee)
Kuniheshimisha, una msitiri na mke wangu
Vidudu mtu leo twawakera
Wamekosa la kusema, leo tamba mke wangu

Hivi sasa ninachokidhamini eeh
Ni wewe mwana
Nikulee kwa nguzo za dini eeh
Ni wewe mwana

Niko radhi nilale chini
Ni wewe mwana
Ujihisi raha ukiwa na mimi
Ni wewe mwana

Basi kama unavibe, tikisa hata kichwa
Tikisa, tikisa tikisa, tikisa tikisa
Mama shangazi, tikisa hata kichwa
Tikisa, tikisa tikisa, tikisa tikisa

Hata kama una kitambi, tingisha hata tumbo
Tingisha, tingisha tingisha, tingisha tingisha
Baba mjomba, tikisa hata kichwa
Tikisa, tikisa tikisa, tikisa tikisa

Jamani mawifi...

Watch Video

About Tamba

Album : Only One King (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Kings Music/ Ziiki Media
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 07 , 2021

More lyrics from Only One King album

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl