Hela Lyrics by ALIKIBA


Hela hela... Hela hela...
Hela unatutesa pia

Tatizo lako aliekuumba
Ni binadamu angekuumba mungu wewe
Usingenipotea tena sana ningeomba
Niweze kukoa uwe wangu moja kwa moja Hela
Nisha beba takataka
Nipate kula nikikupata unatoroka
Hela
Mbona labda masikini
Wakikupata wakisha kula
Unatoroka hela

Hela hela ( Hela..)
Hela hela, hela, hela hela...
Hela hela, hela, hela hela...
Hela unatutesa sana

Na wananchi wanalalamika
Unapendelea wana siasa Hela
Wanayonywa haki zao
Na wenye nguvu
Aliyewapa jon kio hela
Na machinga nao pia
Wananyanyasika sababu yako wewe hela
Kwa wagonjwa hospital
Bila rushwa hawatibiwi vizuri
Hela hela (hela..)
Hela hela hela hela  (hela..)
Hela hela Hela hela
Hela unatutesa sana

Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela

Wewe wako matajiri
Ndo maswaiba zako
(Hela unatutesa sana)
Nenda ukae na mayatima
Wapate faraja aaaja aaaja...
Kwani nani asiependa (Kujinafasi)
Nani asiependa (Kujinafasi)
Nani asiependa
Kuwa na wewe hela

Kuna wajane wasiojiweza
Walemavu mpaka Ali K
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
Hela hela, Hela hela
yeah

 

Watch Video

About Hela

Album : Hela (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Oct 15 , 2018

More ALIKIBA Lyrics

ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA
ALIKIBA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl