Chukua Lyrics by ENOCK BELLA


Kidawa kaja kwetu nimpe jogoo
Namwonea huruma bado ndugu
Ana uzito wa kubeba kugu
Analeta uzushi yaani zogo

Anawatibua waliolala
Haka katoto kana masihara
Jogoo ana kiuwikia jala
Anawatania wanyoa vipara

Shida wakaning'ang'ania ng'ania
Hadi aende na kuku, hadi aende na kuku
Anaonekana kapania pania
Ona kaja usiku

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Kidawa hivi unajua kufuga
Au unataka tu kumvuruga
Na bibi yako kwa kupenda mboga
Hatochelewa kumla na mboga

Hodari wa kuamsha monii, mapema
Wakati bado yupo bandani, akihema
Hajawai kufumwa ugoni, kadema
Si umchunge wasije kumuiba

Shida wakaning'ang'ania ng'ania
Hadi aende na kuku, hadi aende na kuku
Anaonekana kapania pania
Ona kaja usiku

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Usije ukafanya vibwanga
Ukaniletea utoto (Alee) ukaniletea 
Ukampea uganga
Ukaniletea utoto, ukaniletea

Mara kabebwa na kipanga
Ukaniletea utoto, ukaniletea
Wakati kafungwa kamba

Chukua, ukimuona, chukua
Papasaa hadi kwenye kona
Chukua, ukimuona chukua
Tazama yule aliyenona, chukua

Ukimuona, chukua
Inama hadi uvunguni, chukua
Ukimuona, chukua
Mpaka mabanda ya uani

Watch Video

About Chukua

Album : Chukua (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 06 , 2020

More ENOCK BELLA Lyrics

ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA
ENOCK BELLA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl