BEN POL Unaita cover image

Unaita Lyrics

Unaita Lyrics by BEN POL


Kama inakera kumpenda huyu ka cinderella
Kamezeni mnazi au mapera
Bora nife au niende jela

Kwenye hili penzi najibwaga
Kama unanuna kula mawe
Tunaelewana kina dada
Au niongee kisa nawe

I say baby unaita
Sweety unaita
Say baby unaita
Ah sweety unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Alafu mi naona 
Ulivyonipa nimekolea
Ugonjwa nishapona 
Hadi utamu umeninogea

Ulivyonipa tu cha kwanza cha kwanza
Huo mziki faganza faganza
Sijakaa vizuri nakandwa nakandwa
Naicheza bakanja bakanjaa

I say baby unaita
Sweety unaita
Say baby unaita
Ah sweety unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Kwa tabasamu lako unaita
Hata ukinuna unaita
Yako maujuzi unaita
Aah baby unaita

Say whine segeju segejua
Kata tena chekechua
Kwa yako maujuzi utaniua
Ah segeju segejua

Say whine segeju segejua
Kata tena chekechua
Kwa yako maujuzi utaniua
Ah segeju segejua ayee

 

Watch Video

About Unaita

Album : B (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 02 , 2021

More BEN POL Lyrics

BEN POL
Why
BEN POL
BEN POL
BEN POL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl