Mtaa Lyrics by ADRIAN LOCI


Okay double tatu, double tatu ey
Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo madoh zitoke sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo machings zifuate sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

Money ndo motivation hapa nje
Toka mtaa a hell of a ninja
Nimeleta rungu kwa rap
Sitaki wajuniour shida nimerun out of rubbers
Huku mtaa si hulive by example
Pussy niggas huwaga tunasample
Cheza na mimi nakata kichwa 
Nani anatesa nikate

Ka huleti keroma kwa meza usikae kudishi
Nahustle ni ka hamna kitu kwa dish
Lazima nistuck mabunda nifuate
Nivunje sheria haijalishi kitu

Hao makarao ndo mikono refu
Mwizi akapewa bunduki eti
Hadi kijana ashafika 18 
Ashakuwa mwizi aisee

So mi najipanga lately 
Naamkanga fiti nikimedi asubuhi Amen
Mbogi imeitana mi nitatokea quickly
Penye nia pana njia Amen

Mi hufinesse design ya odose baby
Ka ni chai nimebeba za mtaa
Mbona nikose pesa na ninaweza gamble
Zikikam nanunua hii mtaa, Loci

Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo madoh zitoke sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo machings zifuate sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

For real...
Mi na boys wangu tuko njaa
Hakuna choice babu nakuvaa
Unaforce sana unaburn

Mi and the whole army
Hii iko kwangu incase unakam
Yah yah

Nilidunga makafiri before nidungwe macuffling
Kibera nimevaa sling, mi tu ndo celeb Kenya naweza panda mat D
Addicted to hustling mi huwanga ngati keja siwekangi masti
Ngunga ndo huwanga marashi 
Ndo waninotice nikiingia kwa basi

Nina boys ukipitia atakuwasha
Unavutishwa mabongo tukiskizia mashasha
Na usibonge ghasia takataka 
Na mbona nikitokea wanaingia kwa vichaka

Si huvugana na nguvu za giza napiga umbu rungu
Ka una maswali uliza
Si humumunyanga wasupa ka daila
Anapigwa lugha anakuruka anarudi na mimba

Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo madoh zitoke sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

Mi na maboyz wangu wa mtaa yeah
Si hufreestyle palipo cash yah
Rusha dice na hizo machings zifuate sai sai
Toka teke hao masanse wakifika
Wakizidi rudia!

Mi na boyz wangu double tatu
Tukifika mtaa watu wanafyatu
Buda unapenda kulia na uko baze unakaa tu
We buda tulia utapigwa ma 1, 2

Vile mi nakam thru' nafanya mi na undo
Vile mi naburn dope nazoza venye mi na undo
Wananiita Johndoe sipatikani kwa mitambo
Ni bady toka kitambo nawamadanga tu kama Rambo

And I hope mnanipata 
Take your girl then I put her on a platter
Wacha vile mkisii nitaikata
Leo ni mimi na ma kaka 

Ah nina magal na madawa
Nimekam nimekam na hii power
Nimekam na madoba kama kawa
Sawa hii verse nishainawa

Watch Video

About Mtaa

Album : Free Will (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 06 , 2021

More lyrics from Freewill album

More ADRIAN LOCI Lyrics

ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI
ADRIAN LOCI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl